00:00:05
Baba,00:00:06
00:00:06
Kwa nini hatusherehekei00:00:07
00:00:07
siku za kuzaliwa?00:00:08
00:00:08
Swali zuri.00:00:09
00:00:10
Ungejibuje swali hilo00:00:11
00:00:11
ikiwa ungekuwa shuleni?00:00:12
00:00:13
Aaah00:00:14
00:00:15
Kwa sababu Yehova hapendi?00:00:17
00:00:17
Ndiyo.00:00:19
00:00:19
Lakini sababu ni nini?00:00:20
00:00:21
Je, wewe unapenda00:00:22
00:00:22
zawadi na vitu vitamu?00:00:24
00:00:24
Ndiyo!00:00:25
00:00:25
Lakini unavipenda vikiwa hivi?00:00:28
00:00:39
Sikukuu za kuzaliwa00:00:41
00:00:41
huchanganya vitu vizuri00:00:43
00:00:43
pamoja na vitu ambavyo Yehova hapendi.00:00:45
00:00:45
Jinsi gani?00:00:46
00:00:46
Zamani00:00:47
00:00:47
watu waliamini kuwa kuna00:00:49
00:00:49
roho nzuri na mbaya00:00:51
00:00:51
na waliziogopa sana.00:00:53
00:00:53
Walifikiri kupewa zawadi00:00:55
00:00:55
na vitu vitamu00:00:56
00:00:56
siku ambayo walizaliwa 00:00:57
00:00:57
kungewalinda.00:00:58
00:00:58
Na kama leo00:00:59
00:00:59
walitoa maombi kwamba00:01:01
00:01:01
mambo mazuri tu yawapate.00:01:03
00:01:03
Biblia inasemaje kuhusu siku za kuzaliwa?00:01:06
00:01:06
Inataja kuzihusu00:01:08
00:01:08
lakini haitaji mambo mazuri.00:01:10
00:01:10
Kulikuwa na Farao wa Misri00:01:12
00:01:12
na Herode katika siku za Yesu.00:01:14
00:01:14
Walikuwa watawala wenye kiburi00:01:16
00:01:16
na waliwaua watu00:01:18
00:01:18
wakati wa sikukuu zao za kuzaliwa.00:01:20
00:01:20
Je, unakumbuka ikiwa00:01:22
00:01:22
Yesu alisherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa?00:01:24
00:01:24
Um,00:01:25
00:01:25
Hapana.00:01:26
00:01:26
Kweli kabisa.00:01:27
00:01:27
Hakufanya hivyo.00:01:28
00:01:28
Alituambia tusherehekee00:01:30
00:01:30
siku ambayo alikufa.00:01:31
00:01:31
Kwa sababu siku hiyo00:01:33
00:01:33
inatupatia tumaini la kuishi milele.00:01:35
00:01:36
Na alituambia tupeane zawadi00:01:37
00:01:37
wakati wowote tunapotaka.00:01:39
00:01:39
Kama . . .00:01:40
00:01:41
Kama leo!00:01:42
00:01:43
Mama yuko tayari.00:01:44
00:01:44
Keki!00:01:45
00:01:45
Yeee!00:01:46
Somo la 41: Je, Tunapaswa Kusherehekea Siku za Kuzaliwa?
-
Somo la 41: Je, Tunapaswa Kusherehekea Siku za Kuzaliwa?
Baba,
Kwa nini hatusherehekei
siku za kuzaliwa?
Swali zuri.
Ungejibuje swali hilo
ikiwa ungekuwa shuleni?
Aaah
Kwa sababu Yehova hapendi?
Ndiyo.
Lakini sababu ni nini?
Je, wewe unapenda
zawadi na vitu vitamu?
Ndiyo!
Lakini unavipenda vikiwa hivi?
Sikukuu za kuzaliwa
huchanganya vitu vizuri
pamoja na vitu ambavyo Yehova hapendi.
Jinsi gani?
Zamani
watu waliamini kuwa kuna
roho nzuri na mbaya
na waliziogopa sana.
Walifikiri kupewa zawadi
na vitu vitamu
siku ambayo walizaliwa
kungewalinda.
Na kama leo
walitoa maombi kwamba
mambo mazuri tu yawapate.
Biblia inasemaje kuhusu siku za kuzaliwa?
Inataja kuzihusu
lakini haitaji mambo mazuri.
Kulikuwa na Farao wa Misri
na Herode katika siku za Yesu.
Walikuwa watawala wenye kiburi
na waliwaua watu
wakati wa sikukuu zao za kuzaliwa.
Je, unakumbuka ikiwa
Yesu alisherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa?
Um,
Hapana.
Kweli kabisa.
Hakufanya hivyo.
Alituambia tusherehekee
siku ambayo alikufa.
Kwa sababu siku hiyo
inatupatia tumaini la kuishi milele.
Na alituambia tupeane zawadi
wakati wowote tunapotaka.
Kama . . .
Kama leo!
Mama yuko tayari.
Keki!
Yeee!
-