00:00:07
Mama.00:00:08
00:00:48
Mama.00:00:49
00:00:49
Mmh!00:00:51
00:00:58
Uwi!00:00:59
00:02:26
Hii hapa.00:02:27
00:02:28
Asante!00:02:29
00:02:34
Zuri, Ukumbusho umekaribia00:02:37
00:02:37
na lazima uje.00:02:38
00:02:38
Hili ni tukio muhimu sana.00:02:40
00:02:41
Huu ni mwaliko wako00:02:42
00:02:42
pamoja na mama yako.00:02:43
00:02:43
Nitakueleza mengi zaidi00:02:45
00:02:45
kwenye funzo letu.00:02:46
00:02:46
Sawa.00:02:47
00:02:47
Asante.00:02:48
00:02:48
Kwa heri,00:02:49
00:02:49
tutaonana baadaye.00:02:51
00:02:52
Umejibu vizuri Camille.00:02:53
00:02:54
Sasa twende kwenye00:02:55
00:02:55
fungu linalofuata.00:02:56
00:02:56
Unaweza kusoma?00:02:57
00:02:57
Hamna shida.00:02:59
00:02:59
“Watu wengi wangependa00:03:00
00:03:00
kuwa na maisha mazuri00:03:02
00:03:02
lakini hawana hakika ikiwa . . .”00:03:04
00:03:04
Haya.00:03:05
00:03:07
Sasa ni zamu yako!00:03:09
00:03:09
Hm,00:03:10
00:03:10
wanadamu walikuwa wakamilifu.00:03:13
00:03:13
Adamu na Hawa00:03:14
00:03:14
wakamwasi Yehova.00:03:15
00:03:15
Walipoteza ukamilifu00:03:17
00:03:17
na wakafa.00:03:18
00:03:18
Safi!00:03:20
00:03:20
Baadaye,00:03:21
00:03:21
sote tulipoteza ukamilifu,00:03:24
00:03:24
kila mtu00:03:25
00:03:25
angezeeka na kufa.00:03:27
00:03:27
Yesu alikuja duniani00:03:29
00:03:29
na kuwafundisha watu00:03:30
00:03:30
kumhusu Yehova.00:03:31
00:03:31
Alitoa uhai wake00:03:33
00:03:33
kwa ajili yetu.00:03:35
00:03:35
Kweli kabisa.00:03:36
00:03:36
Hivyo, wakati ujao00:03:37
00:03:37
watu hawatakufa tena.00:03:39
00:03:41
Kuna yeyote aliyewahi00:03:42
00:03:42
kukupatia zawadi ya pekee?00:03:44
00:03:44
Mh-hm.00:03:45
00:03:57
Unafikiri kwa nini alikupatia?00:04:00
00:04:00
Kwa sababu alinipenda.00:04:02
00:04:02
Ni kweli.00:04:03
00:04:03
Yehova na Yesu walitupatia00:04:05
00:04:05
zawadi ya pekee.00:04:06
00:04:06
Iliwagharimu sana00:04:08
00:04:08
lakini walitupatia kwa sababu00:04:10
00:04:10
wanatupenda00:04:11
00:04:11
na wanataka tuishi milele.00:04:14
00:04:14
Lakini nyanya alishakufa.00:04:16
00:04:17
Zawadi hiyo itamnufaisha pia.00:04:20
00:04:21
Ningependa kukueleza kuhusu00:04:23
00:04:23
mtu fulani katika Biblia.00:04:25
00:04:25
Alipitia hali kama yako00:04:27
00:04:27
kwenye Luka sura ya 7.00:04:29
00:04:32
Aliishi katika jiji la Naini.00:04:34
00:04:37
Alikuwa na mume00:04:39
00:04:42
na mtoto mvulana00:04:44
00:05:42
lakini siku moja00:05:44
00:05:45
mume wake akafa,00:05:47
00:05:53
naye alibaki tu na mtoto wake.00:05:56
00:06:22
Lakini00:06:23
00:06:23
mwana wake akafa pia.00:06:25
00:06:26
Walikufa wote?00:06:28
00:06:30
Tayari alikuwa mjane00:06:31
00:06:32
lakini sasa00:06:33
00:06:33
alikuwa amebaki peke yake.00:06:35
00:06:40
Siku ya mazishi,00:06:41
00:06:41
Yesu alikuwa akisafiri kwenda Naini00:06:44
00:06:44
na akamwona mjane huyo.00:06:46
00:07:10
Acha kulia.00:07:11
00:07:28
Kijana,00:07:29
00:07:29
ninakuambia,00:07:30
00:07:31
inuka!00:07:32
00:07:35
Amefufuka!00:07:36
00:07:47
Siamini macho yangu.00:07:49
00:07:51
Ni ajabu!00:07:53
00:07:53
Unafikiri kwa nini Yesu alimfufua?00:07:56
00:07:57
Hmm!00:07:58
00:07:59
Kwa sababu00:08:00
00:08:00
aliwapenda.00:08:02
00:08:02
Ndiyo.00:08:03
00:08:04
Anatupenda sote,00:08:05
00:08:05
anakupenda wewe.00:08:07
00:08:08
Hiyo ndiyo sababu alikufa00:08:09
00:08:09
kwa ajili yetu.00:08:10
00:08:10
Yehova alimfufua Yesu.00:08:13
00:08:13
Hivi karibuni00:08:15
00:08:15
Yesu atawafufua watu00:08:16
00:08:16
na kwa sababu alikufa00:08:18
00:08:18
kwa ajili yetu00:08:18
00:08:18
tunaweza kuishi milele.00:08:20
00:08:20
Hiyo ndio zawadi bora zaidi00:08:22
00:08:22
ambayo tumewahi kupata.00:08:24
00:08:24
Tukihudhuria Ukumbusho00:08:26
00:08:26
tunaonyesha shukrani.00:08:28
00:08:29
Hmm.00:08:30
00:08:30
Natumai mama atakuja pia.00:08:32
00:08:40
Mama.00:08:41
00:08:41
Aah mwanangu!00:08:43
00:08:43
Tujitayarishe kwenda Ukumbusho?00:08:45
00:08:46
Aah kipenzi, nimechoka sana00:08:49
00:08:49
hatutaweza kwenda.00:08:50
00:08:59
“Tunatazamia kuwaona jioni00:09:01
00:09:01
tuambieni ikiwa mtahitaji usafiri.”00:09:03
00:09:04
Ni mama yake Sophia.00:09:06
00:09:09
Mama tujitahidi kwenda!00:09:11
00:09:16
Sawa mwanangu.00:09:17
00:09:18
Asante mama!00:09:19
00:09:21
Mama.00:09:22
00:09:22
Niambie binti yangu?00:09:23
00:09:24
Ninafurahi unajifunza Biblia.00:09:26
00:09:26
Mimi pia.00:09:27
00:09:30
Sasa, tutapitisha divai.00:09:32
00:09:40
Unaporudi nyumbani leo,00:09:42
00:09:42
fikiria jinsi dhabihu ya Yesu00:09:45
00:09:46
inavyokunufaisha.00:09:47
00:10:09
Wah!00:10:10
00:10:18
Mama!00:10:19
00:10:26
Njoo twende.00:10:27
00:11:16
Zuri!00:11:17
00:11:22
Angalia nyuma.00:11:23
00:11:29
Zuri!00:11:31
00:11:33
Nyanya.00:11:34
00:11:36
Ni wewe!00:11:38
00:11:39
Mjukuu wangu!00:11:42
00:11:43
NIlikukosa.00:11:45
00:11:45
NIko hapa sasa.00:11:47
00:11:57
Yehova ametuonyesha upendo00:11:59
00:11:59
kwa njia nyingi sana00:12:01
00:12:02
lakini alipomtoa Yesu00:12:04
00:12:04
afe kwa ajili yetu,00:12:06
00:12:06
huo00:12:07
00:12:07
ulikuwa wonyesho mkubwa zaidi00:12:10
00:12:10
wa upendo.00:12:12
Wonyesho Mkubwa Zaidi wa Upendo
-
Wonyesho Mkubwa Zaidi wa Upendo
Mama.
Mama.
Mmh!
Uwi!
Hii hapa.
Asante!
Zuri, Ukumbusho umekaribia
na lazima uje.
Hili ni tukio muhimu sana.
Huu ni mwaliko wako
pamoja na mama yako.
Nitakueleza mengi zaidi
kwenye funzo letu.
Sawa.
Asante.
Kwa heri,
tutaonana baadaye.
Umejibu vizuri Camille.
Sasa twende kwenye
fungu linalofuata.
Unaweza kusoma?
Hamna shida.
“Watu wengi wangependa
kuwa na maisha mazuri
lakini hawana hakika ikiwa . . .”
Haya.
Sasa ni zamu yako!
Hm,
wanadamu walikuwa wakamilifu.
Adamu na Hawa
wakamwasi Yehova.
Walipoteza ukamilifu
na wakafa.
Safi!
Baadaye,
sote tulipoteza ukamilifu,
kila mtu
angezeeka na kufa.
Yesu alikuja duniani
na kuwafundisha watu
kumhusu Yehova.
Alitoa uhai wake
kwa ajili yetu.
Kweli kabisa.
Hivyo, wakati ujao
watu hawatakufa tena.
Kuna yeyote aliyewahi
kukupatia zawadi ya pekee?
Mh-hm.
Unafikiri kwa nini alikupatia?
Kwa sababu alinipenda.
Ni kweli.
Yehova na Yesu walitupatia
zawadi ya pekee.
Iliwagharimu sana
lakini walitupatia kwa sababu
wanatupenda
na wanataka tuishi milele.
Lakini nyanya alishakufa.
Zawadi hiyo itamnufaisha pia.
Ningependa kukueleza kuhusu
mtu fulani katika Biblia.
Alipitia hali kama yako
kwenye Luka sura ya 7.
Aliishi katika jiji la Naini.
Alikuwa na mume
na mtoto mvulana
lakini siku moja
mume wake akafa,
naye alibaki tu na mtoto wake.
Lakini
mwana wake akafa pia.
Walikufa wote?
Tayari alikuwa mjane
lakini sasa
alikuwa amebaki peke yake.
Siku ya mazishi,
Yesu alikuwa akisafiri kwenda Naini
na akamwona mjane huyo.
Acha kulia.
Kijana,
ninakuambia,
inuka!
Amefufuka!
Siamini macho yangu.
Ni ajabu!
Unafikiri kwa nini Yesu alimfufua?
Hmm!
Kwa sababu
aliwapenda.
Ndiyo.
Anatupenda sote,
anakupenda wewe.
Hiyo ndiyo sababu alikufa
kwa ajili yetu.
Yehova alimfufua Yesu.
Hivi karibuni
Yesu atawafufua watu
na kwa sababu alikufa
kwa ajili yetu
tunaweza kuishi milele.
Hiyo ndio zawadi bora zaidi
ambayo tumewahi kupata.
Tukihudhuria Ukumbusho
tunaonyesha shukrani.
Hmm.
Natumai mama atakuja pia.
Mama.
Aah mwanangu!
Tujitayarishe kwenda Ukumbusho?
Aah kipenzi, nimechoka sana
hatutaweza kwenda.
“Tunatazamia kuwaona jioni
tuambieni ikiwa mtahitaji usafiri.”
Ni mama yake Sophia.
Mama tujitahidi kwenda!
Sawa mwanangu.
Asante mama!
Mama.
Niambie binti yangu?
Ninafurahi unajifunza Biblia.
Mimi pia.
Sasa, tutapitisha divai.
Unaporudi nyumbani leo,
fikiria jinsi dhabihu ya Yesu
inavyokunufaisha.
Wah!
Mama!
Njoo twende.
Zuri!
Angalia nyuma.
Zuri!
Nyanya.
Ni wewe!
Mjukuu wangu!
NIlikukosa.
NIko hapa sasa.
Yehova ametuonyesha upendo
kwa njia nyingi sana
lakini alipomtoa Yesu
afe kwa ajili yetu,
huo
ulikuwa wonyesho mkubwa zaidi
wa upendo.
-