00:00:07
Watu huwatendeaje 00:00:09
00:00:09
wale ambao ni tofauti nao? 00:00:11
00:00:13
Nilipokuwa shuleni,00:00:14
00:00:14
wanafunzi wenzangu00:00:15
00:00:15
waliamini ya kwamba00:00:17
00:00:17
unapaswa kukubaliana na 00:00:18
00:00:18
maisha ya mtu00:00:19
00:00:19
hata awe anaishi00:00:21
00:00:21
maisha ya aina gani.00:00:22
00:00:22
Mara nyingi00:00:23
00:00:23
walimu walitusihi tukubaliane na00:00:24
00:00:24
watu wanaofanya00:00:25
00:00:25
ngono za aina mbalimbali.00:00:27
00:00:28
Mwaka wangu wa mwisho00:00:29
00:00:29
katika shule ya sekondari 00:00:30
00:00:30
mwalimu mpya alijiunga00:00:32
00:00:32
na shule yetu,00:00:33
00:00:33
alikua tofauti kwa sababu00:00:34
00:00:34
alitoka mji mkuu00:00:36
00:00:36
na mimi nilitoka00:00:37
00:00:37
mji mdogo wa kijijini.00:00:38
00:00:40
Alikuwa ametumia00:00:41
00:00:41
miaka mingi katika chuo kikuu00:00:43
00:00:43
kwa hiyo hawakuamini00:00:44
00:00:44
kama kuna Mungu.00:00:45
00:00:46
Kwenye mitandao ya kijamii00:00:48
00:00:48
lilikuwa jambo la kawaida00:00:49
00:00:49
kuona watu wakizungumzia00:00:51
00:00:51
maisha mapotovu.00:00:52
00:00:52
Mara nyingi niliona watu00:00:53
00:00:53
wakiandika maelezo huko00:00:55
00:00:55
wakishambulia maisha ya wengine.00:00:58
00:01:00
Mwalimu huyo alikuwa ana00:01:01
00:01:01
utu wa aina tofauti sana.00:01:03
00:01:03
Alionekana anapenda00:01:04
00:01:04
kuwashambulia wanafunzi00:01:05
00:01:05
kwa kuwauliza maswali magumu.00:01:07
00:01:08
Mara nyingi00:01:08
00:01:08
angeuliza maswali darasani00:01:10
00:01:10
kuhusu mambo yanayobishaniwa.00:01:11
00:01:11
Hata nyakati nyingine00:01:13
00:01:13
angesema wazi:00:01:14
00:01:14
“Watu wa eneo hili00:01:15
00:01:15
hawana akili sana.”00:01:17
00:01:17
Bila shaka mambo kama hayo00:01:18
00:01:18
yaliwakera wanafunzi.00:01:20
00:01:20
Kwa hiyo walikataa kuwepo00:01:21
00:01:21
wakati wa somo lake00:01:23
00:01:23
au ikiwa wangekuwepo00:01:24
00:01:24
wangekataa kuzungumza naye.00:01:26
00:01:26
Nakumbuka wakisema00:01:27
00:01:27
hawawezi kuzungumza na mtu 00:01:28
00:01:28
asiyemwamini Mungu.00:01:30
00:01:30
Nakumbuka wanafunzi 00:01:31
00:01:31
wenzangu wakiniuliza:00:01:33
00:01:33
“Si ninyi Mashahidi wa Yehova00:01:34
00:01:34
mnawachukia mashoga?”00:01:36
00:01:37
Wanafunzi wengi waliamini kwamba00:01:39
00:01:39
sisi ni watu wenye00:01:40
00:01:40
msimamo mkali00:01:41
00:01:41
na hata hatungeshirikiana na00:01:43
00:01:43
watu ambao00:01:43
00:01:43
hawakubaliani na imani yetu.00:01:46
00:01:48
Ni nini kilichokusaidia00:01:50
00:01:50
kuwa na maoni ya Biblia?00:01:51
00:01:52
Sikuzote wazazi wangu00:01:53
00:01:53
walinisaidia kuwa na00:01:54
00:01:54
maoni yenye usawaziko.00:01:56
00:01:57
Kadiri nilivyokua,00:01:59
00:01:59
walinisaidia kuelewa kwamba00:02:00
00:02:00
ingawa hatukubaliani na00:02:02
00:02:02
mwenendo wa aina fulani00:02:04
00:02:04
hatumchukii mtu00:02:05
00:02:05
anayefanya mambo hayo.00:02:07
00:02:07
Nilijifunza mengi kutokana na00:02:08
00:02:08
mfano wa mama yangu.00:02:10
00:02:10
Alikuwa akifanya kazi saluni00:02:11
00:02:11
na niliona jinsi alivyokuwa00:02:13
00:02:13
mwenye fadhili kuelekea wengine00:02:15
00:02:15
hata iwe walikuwa na 00:02:16
00:02:16
mwenendo gani wa kingono.00:02:18
00:02:18
Nilifikiria mfano wa Yesu00:02:20
00:02:20
jinsi alivyowaeleza00:02:21
00:02:21
watu wote ujumbe. 00:02:22
00:02:22
Hata iwe njia yao00:02:23
00:02:23
ya kufikiri ilikuwaje00:02:24
00:02:24
au walikuwa na malezi gani.00:02:26
00:02:26
Yesu alitumia muda00:02:27
00:02:27
kuzungumza nao00:02:27
00:02:27
iwe walikuwa nani00:02:29
00:02:29
au wengine walifikiri nini kuwahusu.00:02:31
00:02:31
Nilipenda andiko la Mathayo 5:45,00:02:34
00:02:34
linalosema:00:02:35
00:02:35
‘Yehova huangaza jua00:02:36
00:02:36
na hunyesha mvua00:02:37
00:02:37
juu ya watu wote.’00:02:39
00:02:39
Ni wonyesho wa upendo wake00:02:41
00:02:41
kuwaandalia wanachohitaji00:02:43
00:02:43
hata iwe wao ni nani.00:02:45
00:02:45
Nilipofikiria mfano wa Yesu00:02:48
00:02:48
nilikumbuka maneno yake00:02:49
00:02:49
kwenye Mathayo00:02:50
00:02:50
ambapo anatuambia,00:02:51
00:02:51
‘mambo mnayotaka00:02:52
00:02:52
watu wawatendee00:02:54
00:02:54
ninyi muwatendee hivyo.’00:02:56
00:02:56
Hilo lilinifanya nifikirie00:02:57
00:02:57
jinsi ninavyopaswa kumtendea00:02:58
00:02:58
mwalimu wangu00:02:59
00:02:59
nikamtendea kwa njia tofauti. 00:03:02
00:03:02
Kwa kweli, ikiwa00:03:04
00:03:04
Yehova Mungu Mweza-Yote00:03:06
00:03:06
ni mwenye fadhili,00:03:08
00:03:08
mwema,00:03:09
00:03:09
na anawatendea wote00:03:10
00:03:10
kwa heshima,00:03:11
00:03:11
kwa nini mimi nisifanye hivyo?00:03:13
00:03:13
Na hilo linatia ndani00:03:15
00:03:15
hata wale mwenendo wao00:03:16
00:03:16
sikubaliani nao. 00:03:17
00:03:17
Yehova ametupatia00:03:19
00:03:19
njia bora zaidi00:03:19
00:03:19
ya kuwasaidia majirani wetu00:03:21
00:03:21
kwa kuwasaidia wajifunze kumhusu.00:03:23
00:03:27
Kumekuwa na matukio gani00:03:28
00:03:28
kwasababu ya kutumia00:03:29
00:03:29
kanuni za Biblia?00:03:30
00:03:31
Hapo awali nilifanya kazi00:03:33
00:03:33
kwenye hoteli moja00:03:34
00:03:34
na mhudumu mmoja00:03:35
00:03:35
alikuwa shoga,00:03:36
00:03:36
baadhi ya wafanyakazi wenzake00:03:38
00:03:38
walimtendea vibaya.00:03:39
00:03:39
Kwa hiyo nilihakikisha kwamba00:03:41
00:03:41
siwaungi mkono00:03:42
00:03:42
badala yake nilimtendea00:03:44
00:03:44
kama mtu wa kawaida.00:03:45
00:03:45
Nilipata nafasi ya00:03:46
00:03:46
kuwa na mazungumzo00:03:47
00:03:47
na mwalimu wangu00:03:48
00:03:48
na hata nikamsomea00:03:49
00:03:49
mistari kadhaa.00:03:50
00:03:50
Alivutiwa na kile ambacho00:03:51
00:03:51
Biblia ilisema kuhusu00:03:52
00:03:52
mambo ya kisayansi00:03:53
00:03:53
na akasema angependa00:03:54
00:03:54
kujifunza zaidi.00:03:56
00:03:56
Siku moja mhudumu huyo00:03:57
00:03:57
alinifikia00:03:58
00:03:58
na akanishukuru kwa kumtendea00:04:00
00:04:00
kwa njia tofauti na wengine.00:04:02
00:04:02
Hata baadhi ya00:04:03
00:04:03
wahudumu wengine waliniuliza00:04:04
00:04:04
kwa nini nilitenda hivyo.00:04:06
00:04:06
Hilo lilinipa nafasi ya00:04:07
00:04:07
kuwaeleza kwamba mimi00:04:09
00:04:09
hujaribu kutumia00:04:10
00:04:10
kanuni za Biblia00:04:11
00:04:11
maishani mwangu00:04:12
00:04:12
kutia ndani jinsi00:04:13
00:04:13
ninavyowatendea wengine.00:04:14
00:04:14
Mwalimu huyo alibadilika00:04:16
00:04:16
kwa kadiri fulani00:04:17
00:04:17
kadiri mwaka ulivyosonga00:04:18
00:04:18
aliniambia alivutiwa na00:04:20
00:04:20
mwenendo wangu00:04:21
00:04:21
kwa sababu nilizungumza naye00:04:22
00:04:22
na wanafunzi wenzangu00:04:23
00:04:23
hawakufanya hivyo.00:04:25
00:04:25
Masomo yake00:04:26
00:04:26
yakaanza kupendeza00:04:27
00:04:27
kwa sababu alianza00:04:28
00:04:28
kuwatendea wanafunzi vizuri.00:04:30
00:04:30
Hatua kwa hatua, 00:04:31
00:04:31
wanafunzi wakaanza00:04:32
00:04:32
kurudi darasani00:04:34
00:04:34
na kufikia 00:04:34
00:04:34
mwishoni mwa mwaka huo,00:04:35
00:04:35
hilo darasa tulilolipenda zaidi.00:04:38
00:04:38
Ninapofikiria jinsi Yehova00:04:40
00:04:40
anavyowatendea watu,00:04:41
00:04:41
na jinsi anavyowapa wote00:04:43
00:04:43
nafasi ya kujifunza kumhusu,00:04:45
00:04:45
ninavutiwa naye hata zaidi00:04:47
Sababu za Kuwa na Imani—Tunapaswa Kuwatendeaje Wengine?
-
Sababu za Kuwa na Imani—Tunapaswa Kuwatendeaje Wengine?
Watu huwatendeaje
wale ambao ni tofauti nao?
Nilipokuwa shuleni,
wanafunzi wenzangu
waliamini ya kwamba
unapaswa kukubaliana na
maisha ya mtu
hata awe anaishi
maisha ya aina gani.
Mara nyingi
walimu walitusihi tukubaliane na
watu wanaofanya
ngono za aina mbalimbali.
Mwaka wangu wa mwisho
katika shule ya sekondari
mwalimu mpya alijiunga
na shule yetu,
alikua tofauti kwa sababu
alitoka mji mkuu
na mimi nilitoka
mji mdogo wa kijijini.
Alikuwa ametumia
miaka mingi katika chuo kikuu
kwa hiyo hawakuamini
kama kuna Mungu.
Kwenye mitandao ya kijamii
lilikuwa jambo la kawaida
kuona watu wakizungumzia
maisha mapotovu.
Mara nyingi niliona watu
wakiandika maelezo huko
wakishambulia maisha ya wengine.
Mwalimu huyo alikuwa ana
utu wa aina tofauti sana.
Alionekana anapenda
kuwashambulia wanafunzi
kwa kuwauliza maswali magumu.
Mara nyingi
angeuliza maswali darasani
kuhusu mambo yanayobishaniwa.
Hata nyakati nyingine
angesema wazi:
“Watu wa eneo hili
hawana akili sana.”
Bila shaka mambo kama hayo
yaliwakera wanafunzi.
Kwa hiyo walikataa kuwepo
wakati wa somo lake
au ikiwa wangekuwepo
wangekataa kuzungumza naye.
Nakumbuka wakisema
hawawezi kuzungumza na mtu
asiyemwamini Mungu.
Nakumbuka wanafunzi
wenzangu wakiniuliza:
“Si ninyi Mashahidi wa Yehova
mnawachukia mashoga?”
Wanafunzi wengi waliamini kwamba
sisi ni watu wenye
msimamo mkali
na hata hatungeshirikiana na
watu ambao
hawakubaliani na imani yetu.
Ni nini kilichokusaidia
kuwa na maoni ya Biblia?
Sikuzote wazazi wangu
walinisaidia kuwa na
maoni yenye usawaziko.
Kadiri nilivyokua,
walinisaidia kuelewa kwamba
ingawa hatukubaliani na
mwenendo wa aina fulani
hatumchukii mtu
anayefanya mambo hayo.
Nilijifunza mengi kutokana na
mfano wa mama yangu.
Alikuwa akifanya kazi saluni
na niliona jinsi alivyokuwa
mwenye fadhili kuelekea wengine
hata iwe walikuwa na
mwenendo gani wa kingono.
Nilifikiria mfano wa Yesu
jinsi alivyowaeleza
watu wote ujumbe.
Hata iwe njia yao
ya kufikiri ilikuwaje
au walikuwa na malezi gani.
Yesu alitumia muda
kuzungumza nao
iwe walikuwa nani
au wengine walifikiri nini kuwahusu.
Nilipenda andiko la Mathayo 5:45,
linalosema:
‘Yehova huangaza jua
na hunyesha mvua
juu ya watu wote.’
Ni wonyesho wa upendo wake
kuwaandalia wanachohitaji
hata iwe wao ni nani.
Nilipofikiria mfano wa Yesu
nilikumbuka maneno yake
kwenye Mathayo
ambapo anatuambia,
‘mambo mnayotaka
watu wawatendee
ninyi muwatendee hivyo.’
Hilo lilinifanya nifikirie
jinsi ninavyopaswa kumtendea
mwalimu wangu
nikamtendea kwa njia tofauti.
Kwa kweli, ikiwa
Yehova Mungu Mweza-Yote
ni mwenye fadhili,
mwema,
na anawatendea wote
kwa heshima,
kwa nini mimi nisifanye hivyo?
Na hilo linatia ndani
hata wale mwenendo wao
sikubaliani nao.
Yehova ametupatia
njia bora zaidi
ya kuwasaidia majirani wetu
kwa kuwasaidia wajifunze kumhusu.
Kumekuwa na matukio gani
kwasababu ya kutumia
kanuni za Biblia?
Hapo awali nilifanya kazi
kwenye hoteli moja
na mhudumu mmoja
alikuwa shoga,
baadhi ya wafanyakazi wenzake
walimtendea vibaya.
Kwa hiyo nilihakikisha kwamba
siwaungi mkono
badala yake nilimtendea
kama mtu wa kawaida.
Nilipata nafasi ya
kuwa na mazungumzo
na mwalimu wangu
na hata nikamsomea
mistari kadhaa.
Alivutiwa na kile ambacho
Biblia ilisema kuhusu
mambo ya kisayansi
na akasema angependa
kujifunza zaidi.
Siku moja mhudumu huyo
alinifikia
na akanishukuru kwa kumtendea
kwa njia tofauti na wengine.
Hata baadhi ya
wahudumu wengine waliniuliza
kwa nini nilitenda hivyo.
Hilo lilinipa nafasi ya
kuwaeleza kwamba mimi
hujaribu kutumia
kanuni za Biblia
maishani mwangu
kutia ndani jinsi
ninavyowatendea wengine.
Mwalimu huyo alibadilika
kwa kadiri fulani
kadiri mwaka ulivyosonga
aliniambia alivutiwa na
mwenendo wangu
kwa sababu nilizungumza naye
na wanafunzi wenzangu
hawakufanya hivyo.
Masomo yake
yakaanza kupendeza
kwa sababu alianza
kuwatendea wanafunzi vizuri.
Hatua kwa hatua,
wanafunzi wakaanza
kurudi darasani
na kufikia
mwishoni mwa mwaka huo,
hilo darasa tulilolipenda zaidi.
Ninapofikiria jinsi Yehova
anavyowatendea watu,
na jinsi anavyowapa wote
nafasi ya kujifunza kumhusu,
ninavutiwa naye hata zaidi
-