00:00:01
Yehova amemchagua “mtumwa mwaminifu na
mwenye busara” awe mlinzi.00:00:07
00:00:07
Nyakati za Biblia, mlinzi alipiga pembe au kupiga mbiu00:00:11
00:00:11
ili kutoa onyo kuhusu hatari iliyokuwa ikikaribia.00:00:14
00:00:14
Lakini walinzi walifanya mengi
zaidi tu ya kuwaonya watu.00:00:18
00:00:18
Yehova alimchagua Ezekieli awe mlinzi.00:00:21
00:00:21
Tusome pamoja Ezekieli 33:7,00:00:25
00:00:25
tuone jambo ambalo Yehova
alimwambia afanye.00:00:28
00:00:28
“Na wewe, mwana wa binadamu,00:00:31
00:00:31
nimekuweka kuwa mlinzi wa watu
wa nyumba ya Israeli;00:00:35
00:00:35
unaposikia neno kutoka katika kinywa changu00:00:39
00:00:39
lazima uwape onyo langu.”00:00:41
00:00:41
Sura ambayo tutajifunza sasa
katika kitabu Ibada Safi00:00:45
00:00:45
inategemea andiko hilo na ina kichwa00:00:48
00:00:48
“Nimekuweka Kuwa Mlinzi.”00:00:51
00:00:51
Mnapojifunza habari hii,00:00:53
00:00:53
mtaona mambo mengine ambayo
mlinzi alihitaji kufanya,00:00:57
00:00:57
na mtaelewa kwa undani utu wa Yehova.00:01:00
00:01:00
Tafuta majibu ya maswali haya:00:01:03
00:01:03
Ni nini humchochea Yehova kumweka mlinzi?00:01:07
00:01:07
Ujumbe wa mlinzi ulitimiza mambo gani mawili?00:01:10
00:01:11
Una jukumu gani katika kuunga mkono ibada safi?00:01:15
00:01:16
Huenda ikawa vigumu kufanya kazi
ambayo Yehova ametupatia.00:01:20
00:01:21
Lakini uwe na hakika kwamba “mtumwa mwaminifu
na mwenye busara” anathamini msaada wenu.00:01:26
00:01:27
Na unaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova
anathamini kazi yako ngumu,00:01:32
00:01:32
uvumilivu, na ushikamanifu wako.00:01:34
00:01:35
Habari tutakayojifunza sasa itakupatia ujasiri,00:01:38
00:01:38
na itakusaidia kutimiza sehemu yako00:01:41
00:01:41
katika kuunga mkono ibada safi.00:01:45
Utangulizi wa Sura ya 11
-
Utangulizi wa Sura ya 11
Yehova amemchagua “mtumwa mwaminifu na
mwenye busara” awe mlinzi.
Nyakati za Biblia, mlinzi alipiga pembe au kupiga mbiu
ili kutoa onyo kuhusu hatari iliyokuwa ikikaribia.
Lakini walinzi walifanya mengi
zaidi tu ya kuwaonya watu.
Yehova alimchagua Ezekieli awe mlinzi.
Tusome pamoja Ezekieli 33:7,
tuone jambo ambalo Yehova
alimwambia afanye.
“Na wewe, mwana wa binadamu,
nimekuweka kuwa mlinzi wa watu
wa nyumba ya Israeli;
unaposikia neno kutoka katika kinywa changu
lazima uwape onyo langu.”
Sura ambayo tutajifunza sasa
katika kitabu Ibada Safi
inategemea andiko hilo na ina kichwa
“Nimekuweka Kuwa Mlinzi.”
Mnapojifunza habari hii,
mtaona mambo mengine ambayo
mlinzi alihitaji kufanya,
na mtaelewa kwa undani utu wa Yehova.
Tafuta majibu ya maswali haya:
Ni nini humchochea Yehova kumweka mlinzi?
Ujumbe wa mlinzi ulitimiza mambo gani mawili?
Una jukumu gani katika kuunga mkono ibada safi?
Huenda ikawa vigumu kufanya kazi
ambayo Yehova ametupatia.
Lakini uwe na hakika kwamba “mtumwa mwaminifu
na mwenye busara” anathamini msaada wenu.
Na unaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova
anathamini kazi yako ngumu,
uvumilivu, na ushikamanifu wako.
Habari tutakayojifunza sasa itakupatia ujasiri,
na itakusaidia kutimiza sehemu yako
katika kuunga mkono ibada safi.
-