00:00:33
Salamu wewe uliyebarikiwa sana00:00:36
00:00:37
Yehova yuko pamoja nawe00:00:39
00:00:41
lakini Maria akahangaishwa sana00:00:43
00:00:43
na maneno aliyoambiwa00:00:45
00:00:45
naye akaanza kufikiria00:00:47
00:00:47
maana ya salamu hizo.00:00:48
00:00:49
Usiogope Maria00:00:51
00:00:53
kwa maana umepata kibali cha Mungu00:00:55
00:00:57
Tazama! 00:00:58
00:00:59
utapata mimba00:01:01
00:01:03
na kuzaa mwana00:01:05
00:01:07
nawe utamwita00:01:09
00:01:09
Yesu.00:01:11
00:01:16
Huyo atakuwa mkuu00:01:18
00:01:18
naye ataitwa mwana wa aliye juuu zaidi00:01:21
00:01:22
na Yehova Mungu00:01:23
00:01:23
atampa kiti cha ufalme00:01:25
00:01:25
cha Daudi Baba yake00:01:27
00:01:28
naye yatatawala akiwa Mfalme00:01:29
00:01:29
juu ya nyumba ya Yakobo milele00:01:31
00:01:33
na ufalme wake hautakuwa na mwisho.00:01:36
00:01:42
Hilo litawezekanaje,00:01:44
00:01:45
kwa kuwa 00:01:46
00:01:46
sina uhusiano wa kingono na mwanamume?00:01:49
00:01:51
roho takatifu itakuja juu yako00:01:53
00:01:53
na nguvu za alie juu zaidi zitakufunika00:01:56
00:01:58
kwa hiyo00:01:59
00:02:00
yule atakayezaliwa ataitwa mtakatifu00:02:03
00:02:03
Mwana wa Mungu00:02:04
00:02:09
Tazama!00:02:10
00:02:10
Hata Elisabeti mtu wako wa ukoo00:02:13
00:02:14
anna mimba ya miezi sita00:02:16
00:02:16
ingawa amezeeka,00:02:18
00:02:19
yule anayejulikana kuwa tasa00:02:21
00:02:21
atazaa mwana00:02:23
00:02:24
kwa sababu kwa Mungu00:02:26
00:02:26
hakuna tangazo lisilowezekana.00:02:28
00:02:32
Tazama!00:02:33
00:02:35
Kijakazi wa Yehova!00:02:36
00:02:38
Na itendeke kwangu00:02:39
00:02:39
kulingana na tangazo lako.00:02:41
00:02:57
Kisha00:02:59
00:02:59
malaika akaondoka.00:03:01
Tazama! Kijakazi wa Yehova!
-
Tazama! Kijakazi wa Yehova!
Salamu wewe uliyebarikiwa sana
Yehova yuko pamoja nawe
lakini Maria akahangaishwa sana
na maneno aliyoambiwa
naye akaanza kufikiria
maana ya salamu hizo.
Usiogope Maria
kwa maana umepata kibali cha Mungu
Tazama!
utapata mimba
na kuzaa mwana
nawe utamwita
Yesu.
Huyo atakuwa mkuu
naye ataitwa mwana wa aliye juuu zaidi
na Yehova Mungu
atampa kiti cha ufalme
cha Daudi Baba yake
naye yatatawala akiwa Mfalme
juu ya nyumba ya Yakobo milele
na ufalme wake hautakuwa na mwisho.
Hilo litawezekanaje,
kwa kuwa
sina uhusiano wa kingono na mwanamume?
roho takatifu itakuja juu yako
na nguvu za alie juu zaidi zitakufunika
kwa hiyo
yule atakayezaliwa ataitwa mtakatifu
Mwana wa Mungu
Tazama!
Hata Elisabeti mtu wako wa ukoo
anna mimba ya miezi sita
ingawa amezeeka,
yule anayejulikana kuwa tasa
atazaa mwana
kwa sababu kwa Mungu
hakuna tangazo lisilowezekana.
Tazama!
Kijakazi wa Yehova!
Na itendeke kwangu
kulingana na tangazo lako.
Kisha
malaika akaondoka.
-