00:00:04
Ulimwenguni pote
watu hukutanika kila juma00:00:07
00:00:07
Katika sehemu za ibada
zinazoitwa Majumba ya Ufalme00:00:11
00:00:14
Umewahi kujiuliza
Ni nini ambacho hutendeka00:00:17
00:00:17
Katika Jumba la Ufalme
la Mashahidi wa Yehova?00:00:19
00:00:20
Ni mahali ambapo programu za 00:00:23
00:00:23
kujifunza Biblia na hotuba
hutolewa kila juma00:00:26
00:00:27
Niliona watu wachangamfu sana00:00:29
00:00:29
Nilipohudhuria mikutano mara ya kwanza00:00:32
00:00:32
Jambo ambalo sijawahi kuona mahali
pengine popote00:00:35
00:00:36
Unapohudhuria mkutano
utakuta watu wenye upendo00:00:41
00:00:41
Utaratibu na kila mmoja
anapendezwa na mwenzake00:00:45
00:00:46
Mtu yeyote anaweza kuhudhuria00:00:48
00:00:48
Hakuna kiingilio wala sadaka zinazokusanywa00:00:52
00:00:53
Familia zinakaribishwa kuhudhuria na
kujifunza pamoja00:00:58
00:00:58
Mikutano huanza na
kumalizika kwa wimbo na sala00:01:03
00:01:05
Hotuba ya Biblia ya
dakika 3000:01:07
00:01:07
Iliyotayarishwa kwa ajili ya
watu wote00:01:09
00:01:09
Hutolewa kwenye mkutano mmoja
ambao hufanywa mwishoni mwa juma00:01:13
00:01:13
Hotuba hiyo hufuatiwa na
mazungumzo ya maswali na majibu00:01:17
00:01:17
Yanayotegemea makala katika
toleo la funzo la Mnara wa Mlinzi00:01:21
00:01:21
Kila mtu yuko huru
kutoa maelezo00:01:23
00:01:23
Katikati ya juma
sisi huhudhuria mkutano00:01:26
00:01:26
Ambapo tunajifunza Biblia na
kuzoezwa kuwa wasemaji wazuri00:01:31
00:01:33
Watu wote wanakaribishwa
kwenye mikutano ya Kikristo00:01:38
00:01:38
Hata ikiwa wao
si Mashahidi wa Yehova00:01:43
00:01:44
Utapata programu
ile ile ya kujifunza Biblia00:01:48
00:01:48
Katika Jumba lolote
la Ufalme unaloingia00:01:50
00:01:51
Utapata elimu ya Biblia00:01:54
00:01:54
Marafiki watakaokutia moyo00:01:56
00:01:56
Na nafasi ya kumsifu Mungu00:01:58
00:01:58
Utakapohudhuria mikutano
ya Kikristo ya Mashahidi wa Yehova00:02:02
00:02:02
Ili ujue mahali ambapo Jumba
la Ufalme lililo karibu nawe linapatikana00:02:07
00:02:07
Bonyeza sehemu inayoitwa kutuhusu00:02:09
00:02:09
Na ujaze habari ya kutafuta
mkutano wa Mashahidi wa Yehova00:02:15
Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme?
-
Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme?
Ulimwenguni pote
watu hukutanika kila juma
Katika sehemu za ibada
zinazoitwa Majumba ya Ufalme
Umewahi kujiuliza
Ni nini ambacho hutendeka
Katika Jumba la Ufalme
la Mashahidi wa Yehova?
Ni mahali ambapo programu za
kujifunza Biblia na hotuba
hutolewa kila juma
Niliona watu wachangamfu sana
Nilipohudhuria mikutano mara ya kwanza
Jambo ambalo sijawahi kuona mahali
pengine popote
Unapohudhuria mkutano
utakuta watu wenye upendo
Utaratibu na kila mmoja
anapendezwa na mwenzake
Mtu yeyote anaweza kuhudhuria
Hakuna kiingilio wala sadaka zinazokusanywa
Familia zinakaribishwa kuhudhuria na
kujifunza pamoja
Mikutano huanza na
kumalizika kwa wimbo na sala
Hotuba ya Biblia ya
dakika 30
Iliyotayarishwa kwa ajili ya
watu wote
Hutolewa kwenye mkutano mmoja
ambao hufanywa mwishoni mwa juma
Hotuba hiyo hufuatiwa na
mazungumzo ya maswali na majibu
Yanayotegemea makala katika
toleo la funzo la Mnara wa Mlinzi
Kila mtu yuko huru
kutoa maelezo
Katikati ya juma
sisi huhudhuria mkutano
Ambapo tunajifunza Biblia na
kuzoezwa kuwa wasemaji wazuri
Watu wote wanakaribishwa
kwenye mikutano ya Kikristo
Hata ikiwa wao
si Mashahidi wa Yehova
Utapata programu
ile ile ya kujifunza Biblia
Katika Jumba lolote
la Ufalme unaloingia
Utapata elimu ya Biblia
Marafiki watakaokutia moyo
Na nafasi ya kumsifu Mungu
Utakapohudhuria mikutano
ya Kikristo ya Mashahidi wa Yehova
Ili ujue mahali ambapo Jumba
la Ufalme lililo karibu nawe linapatikana
Bonyeza sehemu inayoitwa kutuhusu
Na ujaze habari ya kutafuta
mkutano wa Mashahidi wa Yehova
-