00:00:07
Tangu tunapoanza kuongea,00:00:09
00:00:09
sisi huuliza maswali.00:00:11
00:00:13
Kwa nini anga ni buluu?00:00:15
00:00:16
Kwa nini nyota zinametameta?00:00:18
00:00:21
Kwa nini tunapatwa na
mambo mabaya?00:00:23
00:00:26
Wanadamu walitoka wapi?00:00:28
00:00:31
Kwa nini watu wanakufa?00:00:33
00:00:37
Watu hujitahidi sana
kutafuta majibu.00:00:39
00:00:41
Leo, kuna habari nyingi sana00:00:44
00:00:44
kuliko wakati uliopita.00:00:45
00:00:48
Lakini yale maswali muhimu zaidi00:00:50
00:00:50
kuhusu uhai, kuteseka, na kifo00:00:53
00:00:53
bado hayajajibiwa.00:00:55
00:00:57
Tutapata wapi majibu?00:00:59
00:01:02
Je, inawezekana kwamba
majibu yamekuwepo00:01:06
00:01:06
katika Biblia kwa muda mrefu?00:01:08
00:01:11
Watu wengi wanasema Biblia00:01:14
00:01:14
imejaa hekaya na mafumbo,00:01:16
00:01:18
imepitwa na wakati,00:01:20
00:01:22
au ni ngumu kuielewa.00:01:24
00:01:27
Lakini tatizo liko wapi?00:01:29
00:01:30
Je, ni Biblia yenyewe au
ni maoni ya watu kuihusu?00:01:35
00:01:36
Watu wanafikiri Mungu ndiye00:01:39
00:01:39
anayeutawala ulimwengu.00:01:40
00:01:41
Lakini je, huo ndio ukweli
wa mambo?00:01:44
00:01:45
Hali katika ulimwengu huu
zimeharibika.00:01:49
00:01:49
Ulimwengu umejaa maumivu00:01:52
00:01:52
na watu wanateseka.00:01:54
00:01:55
Kuna magonjwa na kifo,00:01:58
00:02:00
umaskini na misiba.00:02:03
00:02:03
Mungu mwenye upendo anawezaje00:02:05
00:02:05
kusababisha mambo yote hayo?00:02:08
00:02:08
Huenda ukashanga
kujua Biblia inasema nini.00:02:12
00:02:12
Inasema ulimwengu wote00:02:15
00:02:15
unatawaliwa na yule mwovu.00:02:17
00:02:17
Yaani kuna mtu mwovu
asiyeonekana00:02:21
00:02:21
anayesababisha matatizo00:02:23
00:02:23
na kuongoza mambo yote
ulimwenguni.00:02:25
00:02:28
Ndio sababu hata tukijitahidi
kadiri gani,00:02:31
00:02:32
hatuwezi kutatua matatizo
ya ulimwengu.00:02:35
00:02:37
Lakini kuna habari njema.00:02:40
00:02:40
Biblia inasema kuwa mambo
yatabadilika.00:02:43
00:02:43
Inatueleza kwa nini tuko
katika hali hii,00:02:47
00:02:47
jinsi Mungu atakavyorekebisha
mambo,00:02:50
00:02:50
na jinsi ya kukabiliana na hali.00:02:52
00:02:54
Biblia inatoa majibu ya
maswali muhimu00:02:57
00:02:57
maishani kwa mamilioni
ya watu ulimwenguni,00:03:00
00:03:02
Je, ungependa kuwa
miongoni mwao?00:03:05
00:03:09
Mashahidi wa Yehova watafurahi00:03:11
00:03:11
kujifunza nawe Biblia.00:03:14
00:03:14
Jaza ombi la kujifunza Biblia
linalopatikana00:03:16
00:03:16
kwenye mtandao na mmoja wa
Mashahidi wa Yehova00:03:20
00:03:20
atakutembelea wakati na
mahali panapokufaa.00:03:23
Kwa Nini Ujifunze Biblia?—Video Nzima
-
Kwa Nini Ujifunze Biblia?—Video Nzima
Tangu tunapoanza kuongea,
sisi huuliza maswali.
Kwa nini anga ni buluu?
Kwa nini nyota zinametameta?
Kwa nini tunapatwa na
mambo mabaya?
Wanadamu walitoka wapi?
Kwa nini watu wanakufa?
Watu hujitahidi sana
kutafuta majibu.
Leo, kuna habari nyingi sana
kuliko wakati uliopita.
Lakini yale maswali muhimu zaidi
kuhusu uhai, kuteseka, na kifo
bado hayajajibiwa.
Tutapata wapi majibu?
Je, inawezekana kwamba
majibu yamekuwepo
katika Biblia kwa muda mrefu?
Watu wengi wanasema Biblia
imejaa hekaya na mafumbo,
imepitwa na wakati,
au ni ngumu kuielewa.
Lakini tatizo liko wapi?
Je, ni Biblia yenyewe au
ni maoni ya watu kuihusu?
Watu wanafikiri Mungu ndiye
anayeutawala ulimwengu.
Lakini je, huo ndio ukweli
wa mambo?
Hali katika ulimwengu huu
zimeharibika.
Ulimwengu umejaa maumivu
na watu wanateseka.
Kuna magonjwa na kifo,
umaskini na misiba.
Mungu mwenye upendo anawezaje
kusababisha mambo yote hayo?
Huenda ukashanga
kujua Biblia inasema nini.
Inasema ulimwengu wote
unatawaliwa na yule mwovu.
Yaani kuna mtu mwovu
asiyeonekana
anayesababisha matatizo
na kuongoza mambo yote
ulimwenguni.
Ndio sababu hata tukijitahidi
kadiri gani,
hatuwezi kutatua matatizo
ya ulimwengu.
Lakini kuna habari njema.
Biblia inasema kuwa mambo
yatabadilika.
Inatueleza kwa nini tuko
katika hali hii,
jinsi Mungu atakavyorekebisha
mambo,
na jinsi ya kukabiliana na hali.
Biblia inatoa majibu ya
maswali muhimu
maishani kwa mamilioni
ya watu ulimwenguni,
Je, ungependa kuwa
miongoni mwao?
Mashahidi wa Yehova watafurahi
kujifunza nawe Biblia.
Jaza ombi la kujifunza Biblia
linalopatikana
kwenye mtandao na mmoja wa
Mashahidi wa Yehova
atakutembelea wakati na
mahali panapokufaa.
-